Usiombe uwe na shida ofisi za serikali utalijua jiji
Jamani wafanyakazi wa ofisi za serikali ni very lazzy yaani wazembe to the maximum. Ngoja niwa adithie mkasa ulionikuta juzi ni true story usidhani fix.Basi juzi nilikuwa kwenye ofisi moja muhimu sana hapa nchini bila hiyo ofisi nadhani wawekezaji,viwanda,Migodi na dili kibao zingeshindwa kuwepo.
Soma huu mkasa zaidi...

1 Comments:
Who can help me with .httpaccess ?
where i can fined full information about .httpaccess file syntaxis?
Post a Comment
<< Home